|  | 
| Advertisement | 
MANCHESTER United imeponea chupuchupu kulala mbele ya West Ham United baada ya kuata sare ya 1-1 ugenini usiku huu.
Cheikhou
 Kouyate aliifungia West Ham bao la kuongoza dakika ya 49 na United 
wakahaha tangu hapo kusaka bao la kusawazisha hadi kuelekea kupoteza 
mchezo.
Hata hivyo, kiungo Daley Blind akawanusuru Mashetani Wekundu kulala baada ya kufunga bao la kusawazisha dakika ya 90.
Man
 United ilipata pigo baada ya beki wake Luke Shaw kuonyeshwa kadi ya 
pili ya njano na kuwa nyekndu. Pamoja na matokeo hayo, Man United 
wanabaki nafasi ya nne kwenye msimamo wa ligi, wakati West Ham wanabaki 
nafasi ya nane.







 
 

0 Post a Comment: