Monday, February 09, 2015

MANCHESTER UNITED YAPUMULIA MASHINE.

ad300
Advertisement
MANCHESTER United imeponea chupuchupu kulala mbele ya West Ham United baada ya kuata sare ya 1-1 ugenini usiku huu.
Cheikhou Kouyate aliifungia West Ham bao la kuongoza dakika ya 49 na United wakahaha tangu hapo kusaka bao la kusawazisha hadi kuelekea kupoteza mchezo.
Hata hivyo, kiungo Daley Blind akawanusuru Mashetani Wekundu kulala baada ya kufunga bao la kusawazisha dakika ya 90.
Man United ilipata pigo baada ya beki wake Luke Shaw kuonyeshwa kadi ya pili ya njano na kuwa nyekndu. Pamoja na matokeo hayo, Man United wanabaki nafasi ya nne kwenye msimamo wa ligi, wakati West Ham wanabaki nafasi ya nane.
Daley Blind (left) celebrates a late equaliser as Manchester United rescued a point at West Ham on Sunday afternoonll









Share This
Previous Post
Next Post

Pellentesque vitae lectus in mauris sollicitudin ornare sit amet eget ligula. Donec pharetra, arcu eu consectetur semper, est nulla sodales risus, vel efficitur orci justo quis tellus. Phasellus sit amet est pharetra

0 Post a Comment: